SIMBA AANGUKIA PUA KAGERA, KIIZA ANG’ARA
Mabingwa watetezi wa Simba kwa mara ya pili wameendelea kugawa pointi katika mechi ya za Ligi Kuu ya NBC baada ya kuchapwa bao 1-0 na wenyeji Kagera Sugar mchezo uliopigwa uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Shujaa wa Kagera Sugar ni Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Simba Hamisi Kiiza mnamo dakika ya 71 aliwanyanyua mashabiki
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed